BALOZI ZENA NA KIONGOZI WA MABALOZI SAUDI ARABIA WAJADILI MIKAKATI YA KUIMARISHA DIPLOMASIA YA UCHUMI
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Saudi Arabia, Mhe. Mhandisi Zena Ahmed Said, amekutana na kufanya mazungumzo na Kiongozi wa Mabalozi nchini humo, Mhe. Dkt. Dya-Eddine Said Bamakhrama, jijini Riyadh. Lengo la… Read More








