Dar es Salaam – Speaking to the participants of the training today, the ambassador said they will continue to train health training for various experts in the country with a view to building capacity.
The statement was given today by the ambassador during a two-day training on respiratory experts from various hospitals in Bugando, Mbeya Regional Hospital, Benjamin Mkapa Hospital and Dodoma Regional Hospital.
The Director of the Muhimbili National Hospital (MNH), Prof. Lawrence Museru said that Muhimbili will continue to cooperate with Saudia Arab health experts to ensure experts alter their experiences with Saudi Arabia.
The training is organized by the Muhimbili National Hospital (MNH) in collaboration with Al balsam Cure and Care International Charity Organization.
Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Watoto, Abdulhakiem Kattan wa Saudia Arabia akizungumza kabla ya shughuli ya utoaji vyeti kwa washiriki wa mafunzo ya kusimamia upumuaji kwa wagonjwa wa ICU.
Baadhi ya washiriki wakiwa kwenye mafunzo hayo leo.
Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Watoto, Dkt. Martha Mkony akipokea cheti baada ya kumaliza mafunzo ya kusimamia upumuaji kwa wagonjwa wa ICU kutoka kwa Balozi wa Tanzania nchini Saudia Arabia, Hemedi Iddi Mgaza.
Daktari Bingwa wa Huduma za Usingizi wa Hospitali ya Mkoa wa Mbeya, Dkt. Amos Zakharia akifurahia baada ya kuwa miongoni mwa washiriki waliokabidhiwa cheti.
Baadhi ya wataalam walioshiriki mafunzo ya kusimamia upumuaji kwa wagonjwa wanaolazwa ICU.
Mtaalam wa wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalumu (ICU), Peter Bahati akikabidhiwa cheti na Balozi wa Tanzania nchini Saudia Arabia, Hemedi Iddi Mgaza.
Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Watoto, Dkt. Jenifa Metodi akipongezwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Prof. Lawrence Museru baada ya kumaliza mafunzo hayo leo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Prof. Lawrence Museru akiwa katika picha ya pamoja na wataalam wa afya kutoka Saudia Arabia na wenzao kutoka hospitali mbalimbali nchini.
